Monday, March 28, 2011

BENDI YA MAPACHA WATATU YAPATA TUNZO YA WIMBO BORA WA MWAKA KILI AWARDS 2011


Tunawashukuru sana Wapenzi wa Mapacha kwa kutuwezesha kupata Tuzo Mbili tulizokuwa tukigombea.
tuzo tulizoshinda ni ya Wimbo bora wa Kiswahili Bendi ambapo wimbo wetu wa mduara tulioimba na Mzee Yusuf umechukua tuzo hiyo. pamoja na Rapa Bora wa Bendi ambapo Pacha Khalid Chokoraa Ameichukua.

Kutoka Kushoto Ni Kalala Jr, Khalid Chokoraa na Mimi Mwenyewe Jose Mara Tukipokea Tuzo ya Wimbo Bora wa Kiswahili

0 comments:

 

JOSE MARA © Copyright 2010 All Rights Reserved . Developed by MTAA KWA MTAA