Tunawashukuru sana Wapenzi wa Mapacha kwa kutuwezesha kupata Tuzo Mbili tulizokuwa tukigombea.
tuzo tulizoshinda ni ya Wimbo bora wa Kiswahili Bendi ambapo wimbo wetu wa mduara tulioimba na Mzee Yusuf umechukua tuzo hiyo. pamoja na Rapa Bora wa Bendi ambapo Pacha Khalid Chokoraa Ameichukua.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
0 comments:
Post a Comment