Tunawashukuru sana Wapenzi wa Mapacha kwa kutuwezesha kupata Tuzo Mbili tulizokuwa tukigombea.
tuzo tulizoshinda ni ya Wimbo bora wa Kiswahili Bendi ambapo wimbo wetu wa mduara tulioimba na Mzee Yusuf umechukua tuzo hiyo. pamoja na Rapa Bora wa Bendi ambapo Pacha Khalid Chokoraa Ameichukua.
KITETO WAAHIDIWA KUPATIWA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA
-
Na Munir Shemweta, KITETO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na...


0 comments:
Post a Comment