Tunawashukuru sana Wapenzi wa Mapacha kwa kutuwezesha kupata Tuzo Mbili tulizokuwa tukigombea.
tuzo tulizoshinda ni ya Wimbo bora wa Kiswahili Bendi ambapo wimbo wetu wa mduara tulioimba na Mzee Yusuf umechukua tuzo hiyo. pamoja na Rapa Bora wa Bendi ambapo Pacha Khalid Chokoraa Ameichukua.
DC LUDEWA AFANYA KISOMO KUMWOMBEA RAIS DKT. SAMIA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva akiambatana na Mkurugenzi wa
Halamashauri, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamo...
0 comments:
Post a Comment