Tunawashukuru sana Wapenzi wa Mapacha kwa kutuwezesha kupata Tuzo Mbili tulizokuwa tukigombea.
tuzo tulizoshinda ni ya Wimbo bora wa Kiswahili Bendi ambapo wimbo wetu wa mduara tulioimba na Mzee Yusuf umechukua tuzo hiyo. pamoja na Rapa Bora wa Bendi ambapo Pacha Khalid Chokoraa Ameichukua.
Mariam Abdallah Ibrahim Aleta Furaha Bagamoyo Kupitia Mashindano ya Mkali
wa Chapati
-
Bagamoyo imeandika historia mpya baada ya Mashindano ya Mkali wa Chapati
Bagamoyo yaliyofanyika tarehe 9 Julai 2026 kufanikiwa kwa kiwango kikubwa,
yakiv...


0 comments:
Post a Comment