Tunawashukuru sana Wapenzi wa Mapacha kwa kutuwezesha kupata Tuzo Mbili tulizokuwa tukigombea.
tuzo tulizoshinda ni ya Wimbo bora wa Kiswahili Bendi ambapo wimbo wetu wa mduara tulioimba na Mzee Yusuf umechukua tuzo hiyo. pamoja na Rapa Bora wa Bendi ambapo Pacha Khalid Chokoraa Ameichukua.
RAIS SAMIA ATEUA MAJAJI WA ,MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA
-
*Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan **amefanya
uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani. Kwa mujibu wa taarifa **iliyoto...


0 comments:
Post a Comment