Wapenzi na washabiki wote wa muziki wa Dansi Jose mara kwa niaba ya Mapacha Watatu nawaombe chondechonde njooni Travertine mtussuport Vijana wenu na Tunawaahidi burudani ambayo haijawi tokea. Kiu mtakata.
RAIS DKT SAMIA ATUMA UJUMBE MAALUM KWA RAIS WA CHINA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimkabidhi Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China
Mhe. ...


2 comments:
Hongereni Vijana speed nimeikubali na mimi na jopo langu tutakuwepo hapo. Papaa
Tutakuja jose, wala msihofu. mbona mnakubalika sana tu. Pole yake pacha wa nne leo amekuwa msindikizaji looh
Post a Comment