Wapenzi na washabiki wote wa muziki wa Dansi Jose mara kwa niaba ya Mapacha Watatu nawaombe chondechonde njooni Travertine mtussuport Vijana wenu na Tunawaahidi burudani ambayo haijawi tokea. Kiu mtakata.
MILANGO YA UWEKEZAJI NISHATI SAFI IPO WAZI - PROF. MSOFFE
-
*Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Peter Msoffe
(kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya Burn Manufacturing Bi.
Caroline A...


2 comments:
Hongereni Vijana speed nimeikubali na mimi na jopo langu tutakuwepo hapo. Papaa
Tutakuja jose, wala msihofu. mbona mnakubalika sana tu. Pole yake pacha wa nne leo amekuwa msindikizaji looh
Post a Comment