Saturday, September 11, 2010

Mambo Yalivyokuwa Diamond Jana


Jana uzinduzi wa Vuta nikuvute Diamond Jubilee ulikuwa bomba sana. Tunaelekea Morogoro kwa shoo leo jioni na kesho tutakuwa Morogoro kwa show ya leo halafu kesho tutakuwa Zanzibar.
Nikipata muda wa kupumzika ntawarushia picha za Diamond,backstage mpk Jukwaani.

Kwa niaba ya wana Ngwasuma tunawashukuru wapenzi wote wa FM kwa support kubwa jana.

Jose Mara Wa Kimara.

3 comments:

Anonymous said...

Jose umependeza sana. Tunasubiri picha zaidi

Anonymous said...

Show ilikuwa nzuri ingawa hatukupewa cd kama tulivyoahidiwa. Kwa upande wa mavazi sio sIri wakongo unawakimbiza.wanakushinda mikorogo tu

Anonymous said...

Mgema akisifiwa tembo hulitia maji!
Basi na wewe usione umesifiwa ila wao wamekushinda mkorogo basi na wewe ukataka ujikoroge, UTAJIHARIBU! waachie wenyewe waendelee kutisha watoto, rangi yako nzuri tu na wife mashaallah umepata basi tulia maana nyie masupa nyota huko kazini mnakua na kazi 2 wengine, ni ushauri tu ndugu yangu mimi si mtu wa majumba ya starehe ila nakuonaga na nakusikiaga nimepita kutia macho nuru.
Kazi njema salamu wifiiiiii nimempendaa analipa.

 

JOSE MARA © Copyright 2010 All Rights Reserved . Developed by MTAA KWA MTAA