Jana uzinduzi wa Vuta nikuvute Diamond Jubilee ulikuwa bomba sana. Tunaelekea Morogoro kwa shoo leo jioni na kesho tutakuwa Morogoro kwa show ya leo halafu kesho tutakuwa Zanzibar.
Nikipata muda wa kupumzika ntawarushia picha za Diamond,backstage mpk Jukwaani.
Kwa niaba ya wana Ngwasuma tunawashukuru wapenzi wote wa FM kwa support kubwa jana.
Jose Mara Wa Kimara.
KADA WA CCM, NDUGU MAGEMBE NONI, ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UBUNGE WA JIMBO LA
GEITA MJINI
-
Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Magembe Noni, ambaye ni
mzaliwa wa Geita, amechukua rasmi fomu ya kuwania uteuzi wa chama chake kwa
ajili y...
3 comments:
Jose umependeza sana. Tunasubiri picha zaidi
Show ilikuwa nzuri ingawa hatukupewa cd kama tulivyoahidiwa. Kwa upande wa mavazi sio sIri wakongo unawakimbiza.wanakushinda mikorogo tu
Mgema akisifiwa tembo hulitia maji!
Basi na wewe usione umesifiwa ila wao wamekushinda mkorogo basi na wewe ukataka ujikoroge, UTAJIHARIBU! waachie wenyewe waendelee kutisha watoto, rangi yako nzuri tu na wife mashaallah umepata basi tulia maana nyie masupa nyota huko kazini mnakua na kazi 2 wengine, ni ushauri tu ndugu yangu mimi si mtu wa majumba ya starehe ila nakuonaga na nakusikiaga nimepita kutia macho nuru.
Kazi njema salamu wifiiiiii nimempendaa analipa.
Post a Comment