Saturday, July 10, 2010

MKUTANO WA MATAYARISHO YA BONANZA TCC


Juzi siku ya Alhamis Tulikutana Pale Ofisi za TCC Pugu Road kwa maandalizi ya Bonanza la Wafanyakazi wa TCC Litakalofanyika LEO MCHANA pale TCC Club Chang'ombe. FM Academia tupo pale,Sikinde,Wanne Star , Mheshimiwa temba na wengine wengi wapo.Ntawarushieni picha za matukio Baada yake
Nilipata picha na Mzee wa Traditional Wanne Star. Nakubali sana Kazi ya msanii huyu kwani anajua vyema kuitumikia kazi yake.
Kiongozi wangu katika bendi ya FM ACADEMIA,Presidaa Nyoshi El-Sadat akiwa amepozi kwa picha na mkonge wa muziki wa dansi nchini,Mzee Muhidin Gurumo mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa matayarisho ya Bonanza la TCC Chang'ombe.
Pozi na Mzee Maalim Gurumo (Full Respect kwa mzee wangu)
Meneja Wa FM Academia Mujibu Hamis akiwa amepozi na msanii wa ngoma za asili Wanne Star

0 comments:

 

JOSE MARA © Copyright 2010 All Rights Reserved . Developed by MTAA KWA MTAA