Juzi siku ya Alhamis Tulikutana Pale Ofisi za TCC Pugu Road kwa maandalizi ya Bonanza la Wafanyakazi wa TCC Litakalofanyika LEO MCHANA pale TCC Club Chang'ombe. FM Academia tupo pale,Sikinde,Wanne Star , Mheshimiwa temba na wengine wengi wapo.Ntawarushieni picha za matukio Baada yake
Nilipata picha na Mzee wa Traditional Wanne Star. Nakubali sana Kazi ya msanii huyu kwani anajua vyema kuitumikia kazi yake.
RC Sendiga Aongoza Zoezi la Ugawaji Bima ya Afya kwa Kaya Maskini Babati
-
Na Mwandishi Wetu, Manyara.
WANANCHI wa kaya maskini katika Kijiji cha Imbilili, Kata ya Sigino, Wilaya
ya Babati mkoani Manyara, wameanza kunufaika na hud...


0 comments:
Post a Comment