Juzi siku ya Alhamis Tulikutana Pale Ofisi za TCC Pugu Road kwa maandalizi ya Bonanza la Wafanyakazi wa TCC Litakalofanyika LEO MCHANA pale TCC Club Chang'ombe. FM Academia tupo pale,Sikinde,Wanne Star , Mheshimiwa temba na wengine wengi wapo.Ntawarushieni picha za matukio Baada yake
Nilipata picha na Mzee wa Traditional Wanne Star. Nakubali sana Kazi ya msanii huyu kwani anajua vyema kuitumikia kazi yake.
MTI MMOJA, ENEO AMBALO SIMBA HULITUMIA KWA HONEYMOON KRETA YA NGORONGORO.
-
Unaweza kustaajabu lakini ukweli upo hivyo, ukitaka kuwaona simba wakiwa
katika harakati za kuongeza familia fika katika Kasoko ya Ngorongoro eneo
la mt...


0 comments:
Post a Comment