Wednesday, July 7, 2010

INTERVIEW YA KIPINDI CHA BONGO BEATS NA SAUDA MWILIMA


nikiongea na mtangazaji wa kipindi cha Bongo Beats,Sauda Mwilima wakati akinifanyia interview kwa ajili ya kipindi chake hicho iliyofanyika juzi kati katika hotel ya Southan Sun,jijini Dar.
nikimkaribisha bibie Sauda Mwilima katika hotel ya Southen Sun.
Juzi Kati nilikuwa na Bibie Sauda Mwilima pale Southern Sun Hotel tukafanya interview kwa ajili ya kipindi chake cha Bongo Beats.Tuliongea mengi kuhusu Muziki wangu,Maisha yangu na Kazi zangu binafsi.
Ntawafahamisha siku na muda kitakaporushwa kipindi.

3 comments:

Anonymous said...

Mmetoka Mchicha Bro. Nirushie namba ya huyo sauda nina shida nae sana. nakutumia email yangu.
Shani umeua kaka Suti ya Ukweli.

Anonymous said...

shemeji yetu uko juuu

Anonymous said...

KAKA HIVI UNAJIJUA KAMA WE UKO BOMBA MBAYA? USISAHAU KUMSHUKURU MUNGU KWA JINSI ALIVYOKUUMBA. NA VILE VILE SIFA ZIENDE KWA MKEO KWA KUKUPENDA, NDOA IKIWA CHUNGU HATA SURA ITAONYESHA NA MWILI UTAONYESHA. SIRI YA KUENDELEA KUWA BOMBA ZAIDI NI KUUTHAMINI MWILI WAKO. MAFANIKIO MEMA

 

JOSE MARA © Copyright 2010 All Rights Reserved . Developed by MTAA KWA MTAA