Hili ndilo kundi la "MAPACHA WA NNE" kabla ya mmoja kujitoa na sasa ni "MAPACHA WATATU" linaloundwa na mimi mwenyewe (Josee Mara),Kalala Jr pamona na Khalid Chokoraa,mpangilio wa majina umeanzia kulia kwenda kushoto kulingana na jinsi tunavyoonekana katika picha hii,alie jitoa ni Charles Baba.
MTI MMOJA, ENEO AMBALO SIMBA HULITUMIA KWA HONEYMOON KRETA YA NGORONGORO.
-
Unaweza kustaajabu lakini ukweli upo hivyo, ukitaka kuwaona simba wakiwa
katika harakati za kuongeza familia fika katika Kasoko ya Ngorongoro eneo
la mt...


3 comments:
Inatoka lini? Kazi nzuri ya nyimbo yenu ya mapacha.
safi sana kazeni buti vijana
Sophia
Maisha ni kuangaika,hata Mungu umbariki yule anayetafuta kwa jasho lake. Hongereni sana mapacha. kazeni buti, inshallah Mungu atawabariki mpaka mshangae. Ila muhimu nikujitunza ili muwe na maisha marefu tuweze faidi nyimbo zenu mpaka mtakapo zeeka. kila la kheri
Post a Comment