Hili ndilo kundi la "MAPACHA WA NNE" kabla ya mmoja kujitoa na sasa ni "MAPACHA WATATU" linaloundwa na mimi mwenyewe (Josee Mara),Kalala Jr pamona na Khalid Chokoraa,mpangilio wa majina umeanzia kulia kwenda kushoto kulingana na jinsi tunavyoonekana katika picha hii,alie jitoa ni Charles Baba.
Huna SIM Card? Hakuna Tatizo! Kwetu eSIM Inakuwezesha Kuunganishwa Nchi
Zaidi ya 190
-
Fikiria unatua katika nchi mpya na intaneti yako tayari inafanya kazi
kabla hata hujatoka uwanja wa ndege. Hakuna haja ya kutafuta Wi-Fi. Hakuna
kununua...


3 comments:
Inatoka lini? Kazi nzuri ya nyimbo yenu ya mapacha.
safi sana kazeni buti vijana
Sophia
Maisha ni kuangaika,hata Mungu umbariki yule anayetafuta kwa jasho lake. Hongereni sana mapacha. kazeni buti, inshallah Mungu atawabariki mpaka mshangae. Ila muhimu nikujitunza ili muwe na maisha marefu tuweze faidi nyimbo zenu mpaka mtakapo zeeka. kila la kheri
Post a Comment