Bado Najipanga. Kwa kweli \nimeshindwa kuimanage hii blog . Natafuta Msaidizi.
Tuwiane radhi.
Jose Mara.
JAB: Uhuru wa Vyombo vya Habari Upo, Lakini Lazima Uendane na Maadili
-
Na Mwandishi Wetu.
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imesisitiza kuwa uhuru wa
vyombo vya habari nchini upo, unalindwa kisheria na unatambul...











