Kila jumapili Mapacha Tuko Mzalendo pub na kila jumanne coco star club beach na Alhamis ni Pale Club Sunciro Sinza. Hawa Wakinadada Ni CREAM ya Dancers Tanzania. Niamini mimi. Njoo uone wakichakachua Halafu Utaniambia..
ETDCO YATOA MKONO WA EID EL FITRI KITUO CHA KULEA WATOTO IGAMILO
-
Kampuni Tanzu ya TANESCO inayojishughulisha na Ujenzi pamoja na Ukarabati
wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji Umeme (ETDCO) imetoa msaada wa
vitu ...
1 comments:
werawera kwa raha zenu
Post a Comment