Wizara ya Maliasili na Utalii, Wadau Wajadiliana Mikakati ya Kuendeleza
Sekta ya Misitu na Ufugaji Nyuki nchini
-
Na Saidi Lufune, Dodoma
WIZARA ya Maliasili na Utalii inaendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya
misitu na ufugaji nyuki ili kuboresha uhifadhi na uend...
Thursday, September 22, 2011
Samahani sana wadau kwa kupotea
Imekuwa Muda mrefu sasa sija update blog. Nilikuwa mgonjwa na bado sijawa fit. Muda si mrefu nitarudi ulingoni. Mniwie radhi. Jose Mara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


4 comments:
pole sana kaka, mungu akupe nafuu urudi katika hali yako.. we mic you
pole sana kaka, mungu akupe nafuu urudi katika hali yako.. we mic you
Uwe umzima kwa jina la yesu.ili uendelee na kazi za kujenga taifa.
Jinsi hii blog ilivyokaa kimya siku nyingi inaelekea huo ugonjwa sio mcezo, pole sana
Post a Comment