Jumapili ya Leo Kuanzia Saa 3 Kamili Usiku Tukutane Mzalendo Pub Katika Uzinduzi wa Mapacha Watatu DVD. Humo Ndani utakutana na Video za Nyimbo Zetu Zote Zilizo katika Album ya Jasho La Mtu.
Tutasindikizwa na Mfalme wa Bongo Fleva Duly Sykes, Mzee Yusuf na Baadhi ya Wasanii wa Filamu walioshiriki katika Video hizo kama Mzee Chillo, JB, Bi Mwenda. Na wengineo wengi.
Karibuni sana Kiingilio ni Shilingi 7,000/- TU
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
1 comments:
patanogaaa leooo,nikimiss nitaumwaaaa
Post a Comment