Jumapili ya Leo Kuanzia Saa 3 Kamili Usiku Tukutane Mzalendo Pub Katika Uzinduzi wa Mapacha Watatu DVD. Humo Ndani utakutana na Video za Nyimbo Zetu Zote Zilizo katika Album ya Jasho La Mtu.
Tutasindikizwa na Mfalme wa Bongo Fleva Duly Sykes, Mzee Yusuf na Baadhi ya Wasanii wa Filamu walioshiriki katika Video hizo kama Mzee Chillo, JB, Bi Mwenda. Na wengineo wengi.
Karibuni sana Kiingilio ni Shilingi 7,000/- TU
NDUMBARO AANZA SAFARI YA KUPIGANIA UBUNGE AWAMU NYINGINE SONGEA.
-
Songea, Ruvuma.
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Dkt. Damas Ndumbaro, leo Juni 30,
2025, amechukua rasmi fomu ya kuwania tena nafasi hiyo kupit...
1 comments:
patanogaaa leooo,nikimiss nitaumwaaaa
Post a Comment