Jumapili ya Leo Kuanzia Saa 3 Kamili Usiku Tukutane Mzalendo Pub Katika Uzinduzi wa Mapacha Watatu DVD. Humo Ndani utakutana na Video za Nyimbo Zetu Zote Zilizo katika Album ya Jasho La Mtu.
Tutasindikizwa na Mfalme wa Bongo Fleva Duly Sykes, Mzee Yusuf na Baadhi ya Wasanii wa Filamu walioshiriki katika Video hizo kama Mzee Chillo, JB, Bi Mwenda. Na wengineo wengi.
Karibuni sana Kiingilio ni Shilingi 7,000/- TU
DC NYAMWESE: MADIWANI MSITANGULIZE MASLAHI BINAFSI KWENYE HALMASHAURI
-
*MKUU wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese,akizungumza wakati akifunga
mafunzo ya kuwajengea uwezo madiwani wa Halmashauri ya Mji Handeni,
Halmas...



1 comments:
patanogaaa leooo,nikimiss nitaumwaaaa
Post a Comment