Jumapili ya Leo Kuanzia Saa 3 Kamili Usiku Tukutane Mzalendo Pub Katika Uzinduzi wa Mapacha Watatu DVD. Humo Ndani utakutana na Video za Nyimbo Zetu Zote Zilizo katika Album ya Jasho La Mtu.
Tutasindikizwa na Mfalme wa Bongo Fleva Duly Sykes, Mzee Yusuf na Baadhi ya Wasanii wa Filamu walioshiriki katika Video hizo kama Mzee Chillo, JB, Bi Mwenda. Na wengineo wengi.
Karibuni sana Kiingilio ni Shilingi 7,000/- TU
SERIKALI YAWEZESHA UREJESHAJI WA HEKTA MILIONI 3 ZA MISITU ILIYOHARIBIWA
-
*Ofisi ya Makamu wa Rais kupitia Mradi wa Urejeshaji Endelevu wa Mazingira
na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania imewezesha urejesha...



1 comments:
patanogaaa leooo,nikimiss nitaumwaaaa
Post a Comment