Leo nasherehekea miaka kadhaa ya kuzaliwa.
Nashukuru kwa familia yangu kwa kuianzisha siku yangu vizuri. Nilifurahi sana Mike na JJ walivonisurprise na cake Happy Bday Baba. Kweli nazeeka kwa furaha.
Nawashukuru pia Ndugu,Jamaa,marafiki na fans kwa message zenu na simu za wishes. Kupitia sms,Twitter, FB ni nyingi siwezi kujibu moja moja. Asanteni kwa kunikumbuka na kunijali
MTI MMOJA, ENEO AMBALO SIMBA HULITUMIA KWA HONEYMOON KRETA YA NGORONGORO.
-
Unaweza kustaajabu lakini ukweli upo hivyo, ukitaka kuwaona simba wakiwa
katika harakati za kuongeza familia fika katika Kasoko ya Ngorongoro eneo
la mt...


0 comments:
Post a Comment