Leo nasherehekea miaka kadhaa ya kuzaliwa.
Nashukuru kwa familia yangu kwa kuianzisha siku yangu vizuri. Nilifurahi sana Mike na JJ walivonisurprise na cake Happy Bday Baba. Kweli nazeeka kwa furaha.
Nawashukuru pia Ndugu,Jamaa,marafiki na fans kwa message zenu na simu za wishes. Kupitia sms,Twitter, FB ni nyingi siwezi kujibu moja moja. Asanteni kwa kunikumbuka na kunijali
RAIS DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA CCM, ZANZIBAR
-
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya
Hal...
0 comments:
Post a Comment