Leo nasherehekea miaka kadhaa ya kuzaliwa.
Nashukuru kwa familia yangu kwa kuianzisha siku yangu vizuri. Nilifurahi sana Mike na JJ walivonisurprise na cake Happy Bday Baba. Kweli nazeeka kwa furaha.
Nawashukuru pia Ndugu,Jamaa,marafiki na fans kwa message zenu na simu za wishes. Kupitia sms,Twitter, FB ni nyingi siwezi kujibu moja moja. Asanteni kwa kunikumbuka na kunijali
RAIS DKT SAMIA ATUMA UJUMBE MAALUM KWA RAIS WA CHINA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimkabidhi Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China
Mhe. ...


0 comments:
Post a Comment