Leo nasherehekea miaka kadhaa ya kuzaliwa.
Nashukuru kwa familia yangu kwa kuianzisha siku yangu vizuri. Nilifurahi sana Mike na JJ walivonisurprise na cake Happy Bday Baba. Kweli nazeeka kwa furaha.
Nawashukuru pia Ndugu,Jamaa,marafiki na fans kwa message zenu na simu za wishes. Kupitia sms,Twitter, FB ni nyingi siwezi kujibu moja moja. Asanteni kwa kunikumbuka na kunijali
Mariam Abdallah Ibrahim Aleta Furaha Bagamoyo Kupitia Mashindano ya Mkali
wa Chapati
-
Bagamoyo imeandika historia mpya baada ya Mashindano ya Mkali wa Chapati
Bagamoyo yaliyofanyika tarehe 9 Julai 2026 kufanikiwa kwa kiwango kikubwa,
yakiv...


0 comments:
Post a Comment