Leo nasherehekea miaka kadhaa ya kuzaliwa.
Nashukuru kwa familia yangu kwa kuianzisha siku yangu vizuri. Nilifurahi sana Mike na JJ walivonisurprise na cake Happy Bday Baba. Kweli nazeeka kwa furaha.
Nawashukuru pia Ndugu,Jamaa,marafiki na fans kwa message zenu na simu za wishes. Kupitia sms,Twitter, FB ni nyingi siwezi kujibu moja moja. Asanteni kwa kunikumbuka na kunijali
Tuzo za ZICA: NBC Yaibuka Kinara Uwezeshaji Miradi ya Ujenzi Zanzibar.
-
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeibuka mshindi kwenye Tuzo za Kimataifa
za Ujenzi Zanzibar (ZICA Awards) baada ya kutunukiwa tuzo ya Benki Bora
katika K...


0 comments:
Post a Comment