Katika Ziara yetu ya Moshi na Arusha tulipokelewa vizuri sana na fans wa mikoa hiyo. Tulitambulisha rasmi chupa mpya ya heineken portable aka Heineken Epasula.
RAIS DKT SAMIA ATUMA UJUMBE MAALUM KWA RAIS WA CHINA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimkabidhi Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China
Mhe. ...


3 comments:
Sio siri tuliinjoy saana karibuni tena kaskazini.
Jamani nimemith ngwasuma,sipatii picha wachaga walivyocheza pikipiki na mayemba.fm mko juu sanaaa
Mapacha mnaendeleaje jose? napenda sana nyimbo zenu. na album yako pia chozi la yatima nyimbo nzuri sana. we ni mkali kaka
Post a Comment