Tuesday, October 5, 2010

SAFARI YA FM ACADEMIA MOSHI NA ARUSHA


Katika Ziara yetu ya Moshi na Arusha tulipokelewa vizuri sana na fans wa mikoa hiyo. Tulitambulisha rasmi chupa mpya ya heineken portable aka Heineken Epasula.











 

3 comments:

Anonymous said...

Sio siri tuliinjoy saana karibuni tena kaskazini.

Anonymous said...

Jamani nimemith ngwasuma,sipatii picha wachaga walivyocheza pikipiki na mayemba.fm mko juu sanaaa

Anonymous said...

Mapacha mnaendeleaje jose? napenda sana nyimbo zenu. na album yako pia chozi la yatima nyimbo nzuri sana. we ni mkali kaka

 

JOSE MARA © Copyright 2010 All Rights Reserved . Developed by MTAA KWA MTAA