Katika Ziara yetu ya Moshi na Arusha tulipokelewa vizuri sana na fans wa mikoa hiyo. Tulitambulisha rasmi chupa mpya ya heineken portable aka Heineken Epasula.
SERIKALI ITAENDELEA KUWEKEZA VYA KUTOSHA KWENYE HUDUMA BORA ZA MAGONJWA YA
MOYO-MAJALIWA
-
*WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kufanya
uwekezaji wa kutosha ili kuhakikisha Watanzania wanapata huduma Bora za
magonjwa...
3 comments:
Sio siri tuliinjoy saana karibuni tena kaskazini.
Jamani nimemith ngwasuma,sipatii picha wachaga walivyocheza pikipiki na mayemba.fm mko juu sanaaa
Mapacha mnaendeleaje jose? napenda sana nyimbo zenu. na album yako pia chozi la yatima nyimbo nzuri sana. we ni mkali kaka
Post a Comment