Katika Ziara yetu ya Moshi na Arusha tulipokelewa vizuri sana na fans wa mikoa hiyo. Tulitambulisha rasmi chupa mpya ya heineken portable aka Heineken Epasula.
MTANDAO WA ELIMU WAWATAKA WAZAZI KUCHANGIA CHAKULA SHULENI
-
*Kaimu Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala
akizungumza na wazazi, wanafunzi na viongozi na wadau wa elimu katika
mku...
3 comments:
Sio siri tuliinjoy saana karibuni tena kaskazini.
Jamani nimemith ngwasuma,sipatii picha wachaga walivyocheza pikipiki na mayemba.fm mko juu sanaaa
Mapacha mnaendeleaje jose? napenda sana nyimbo zenu. na album yako pia chozi la yatima nyimbo nzuri sana. we ni mkali kaka
Post a Comment