Mshindi wa shindano la Vodacom Miss Exellence Open Unirversity of Tanzania 2010 Christin Justin (kati) akiwa na washindi wengine kwenye shindano hilo usiku wa kuamkia leo kwenye kampas ya chuo hicho eneo la Biafra Kinondoni. Kushoto kwake ni mshindi wa tatu Jaquiline Mwombeki na kulia kwake ni mshindi wa pili Glory Mushi.
Tano bora ya Vodacom Miss Exellence OUT 2010
Washiriki 11 waliochauna
Mtu mzima nikiwa nimekula pozi na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa OUT,Bw. Albert Memba katika onyesho la urembo la Open University of Tanzania Excellence 2010 lililofanyika usiku wa jana katika makao makuu ya chuo hicho yaliyopo Kinondoni Biafra.FM academia ndio waliopambisha onyesho hilo kwa burudani kabambe kabisa.(Picha kwa hisani ya Blog Ya Issa Michuzi.)
2
comments:
Anonymous
said...
Jose mara mzee wa Pamba kweli we kiboko. Kila nguo na kiatu chake?naona kiatu cha blue kwa mbali.
Naitwa Joseph Michael Mponezya au Jose Mara kama ninavyojulikana kwa wengi. Ni Mwanamuziki na Mmoja wa wamiliki wa Bendi ya MAPACHA WATATU.Nimeoa na Nina Watoto Wawili.Karibieni tuburudike
Email: josemarah@gmail.com
Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
-
*By Dr. Herman Louise Verhofstadt*
* “A BIT like President Donald Trump, Tanzania’s president, John Magufuli,
likes to fire employees on television. In No...
TUNAHAMA
-
KULINGANA NA TEKNOLOJIA NA MABADILIKO YA TEKNOHAMA
....lol nimetumia misamiati ee
YES 8020 FASHIONS SASA TUNAHAMA TOKA HAPA NA TUTAKUWA TUNAPATIKANA HUMU
...
2 comments:
Jose mara mzee wa Pamba kweli we kiboko. Kila nguo na kiatu chake?naona kiatu cha blue kwa mbali.
Ndiyo, labda kwa hivyo ni
Post a Comment