Sunday, June 26, 2011

NIKO NDANI YA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO KATIKA SHINDANO LA NGUMI KATI YA CHEKA NA DANIEL WANYIONI NAKUTANA NA RASHID MATUMLA.


Mi ni Mmoja wa Washabiki wa Matumla ninashangaa kujua kumbe Yeye ni Shabiki Wangu Namba Moja.Anaufahamu Muziki wangu kuliko nilivyotarajia.
Hii ilikuwa Jana Jioni ambapo CHEKA Ameondoka na Ushindi kwa point kadhaa kama kawaida

0 comments:

 

JOSE MARA © Copyright 2010 All Rights Reserved . Developed by MTAA KWA MTAA