.
Heri ya pasaka wapenzi wote wa Jose Mara Blog kutoka kwangu na Familia yangu.
Sitaweza ku update blog kila siku kipindi hiki niko huku na kule kuikimbiza shilingi. Natuma salamu hizi kutoka Bagamoyo. Kesho ntakuwa Mzalendo Pub na Mapacha na Jumatatu Dodoma tuko pamoja.
Basi Niwatakie Pasaka njema wote na Familia Zenu.
SERIKALI YAWEZESHA UREJESHAJI WA HEKTA MILIONI 3 ZA MISITU ILIYOHARIBIWA
-
*Ofisi ya Makamu wa Rais kupitia Mradi wa Urejeshaji Endelevu wa Mazingira
na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania imewezesha urejesha...


0 comments:
Post a Comment