.
Heri ya pasaka wapenzi wote wa Jose Mara Blog kutoka kwangu na Familia yangu.
Sitaweza ku update blog kila siku kipindi hiki niko huku na kule kuikimbiza shilingi. Natuma salamu hizi kutoka Bagamoyo. Kesho ntakuwa Mzalendo Pub na Mapacha na Jumatatu Dodoma tuko pamoja.
Basi Niwatakie Pasaka njema wote na Familia Zenu.
ANGELLAH KAIRUKI ASHIRIKI KONGAMANO LA UCHAGUZI, AMANI NA DUA JIJINI DAR ES
SALAAM
-
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe.
Angellah Kairuki, ameshiriki katika Kongamano la Uchaguzi, Amani na Dua
lili...
0 comments:
Post a Comment