.
Heri ya pasaka wapenzi wote wa Jose Mara Blog kutoka kwangu na Familia yangu.
Sitaweza ku update blog kila siku kipindi hiki niko huku na kule kuikimbiza shilingi. Natuma salamu hizi kutoka Bagamoyo. Kesho ntakuwa Mzalendo Pub na Mapacha na Jumatatu Dodoma tuko pamoja.
Basi Niwatakie Pasaka njema wote na Familia Zenu.
BALOZI CHANA AWAVISHA VYEO MANAIBU KAMISHNA WAWILI NA KUSHUHUDIA UVISHWAJI
VYEO WA MAKAMISHNA WASAIDIZI WAANDAMIZI WATANO WA NCAA.
-
Kassim Nyaki, NCAA Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amewavisha cheo
manaibu kamishna wawili na kushuhudia uvishwaji vye...
0 comments:
Post a Comment