.
Heri ya pasaka wapenzi wote wa Jose Mara Blog kutoka kwangu na Familia yangu.
Sitaweza ku update blog kila siku kipindi hiki niko huku na kule kuikimbiza shilingi. Natuma salamu hizi kutoka Bagamoyo. Kesho ntakuwa Mzalendo Pub na Mapacha na Jumatatu Dodoma tuko pamoja.
Basi Niwatakie Pasaka njema wote na Familia Zenu.
MILANGO YA UWEKEZAJI NISHATI SAFI IPO WAZI - PROF. MSOFFE
-
*Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Peter Msoffe
(kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya Burn Manufacturing Bi.
Caroline A...


0 comments:
Post a Comment