.
Heri ya pasaka wapenzi wote wa Jose Mara Blog kutoka kwangu na Familia yangu.
Sitaweza ku update blog kila siku kipindi hiki niko huku na kule kuikimbiza shilingi. Natuma salamu hizi kutoka Bagamoyo. Kesho ntakuwa Mzalendo Pub na Mapacha na Jumatatu Dodoma tuko pamoja.
Basi Niwatakie Pasaka njema wote na Familia Zenu.
WAZIRI MKUU AFUNGA MAONESHO YA NISHATI 2024
-
*Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,
Dkt. Doto Biteko wakipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Mradi wa Gesi Asilia
wa K...
0 comments:
Post a Comment