Wadau nimeona kuna Blog Moja Imeandika kwamba Nimefukuzwa Kazi FM Academia. Nakanusha Habari Hizo. Sijapokea hiyo Barua na Juzi nilikuwa na FM kwenye Sherehe ya airtel Pale Mlimani City na jana tulikuwa Maisha Club. FM Academia Nipo. Mapacha Watatu Tupo.
JOSE MARA WA KIMARA....
RAIS DKT SAMIA ATUMA UJUMBE MAALUM KWA RAIS WA CHINA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimkabidhi Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China
Mhe. ...



2 comments:
Mhh watu wapana. sasa yeye huyo kinyaiya alitoa wapi hayo maneno. maana nimesoma kwenye blog utadhani yeye ndiye alipewa hizo barua awaletee. Makubwa. Vipi kuhusu kina chokoraa maana hapa umejisemea wewe tu.
Kinyaiya acha majungu mdogo wangu,pakaa cream utulie
Post a Comment