Wadau nimeona kuna Blog Moja Imeandika kwamba Nimefukuzwa Kazi FM Academia. Nakanusha Habari Hizo. Sijapokea hiyo Barua na Juzi nilikuwa na FM kwenye Sherehe ya airtel Pale Mlimani City na jana tulikuwa Maisha Club. FM Academia Nipo. Mapacha Watatu Tupo.
JOSE MARA WA KIMARA....
NEMC YAKIFUNGA KIWANDA CHA HOOTA KWA KUTOKUZINGATIA TARATIBU ZA KIMAZINGIRA
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC Leo Februari 9,
2026 limekifunga kiwanda cha urejelezaji wa taka za plastiki cha HOOTA
kilichopo ...



2 comments:
Mhh watu wapana. sasa yeye huyo kinyaiya alitoa wapi hayo maneno. maana nimesoma kwenye blog utadhani yeye ndiye alipewa hizo barua awaletee. Makubwa. Vipi kuhusu kina chokoraa maana hapa umejisemea wewe tu.
Kinyaiya acha majungu mdogo wangu,pakaa cream utulie
Post a Comment