Friday, December 10, 2010

NAKANUSHA UVUMI


Wadau nimeona kuna Blog Moja Imeandika kwamba Nimefukuzwa Kazi FM Academia. Nakanusha Habari Hizo. Sijapokea hiyo Barua na Juzi nilikuwa na FM kwenye Sherehe ya airtel Pale Mlimani City na jana tulikuwa Maisha Club. FM Academia Nipo. Mapacha Watatu Tupo.

JOSE MARA WA KIMARA....

2 comments:

Anonymous said...

Mhh watu wapana. sasa yeye huyo kinyaiya alitoa wapi hayo maneno. maana nimesoma kwenye blog utadhani yeye ndiye alipewa hizo barua awaletee. Makubwa. Vipi kuhusu kina chokoraa maana hapa umejisemea wewe tu.

Anonymous said...

Kinyaiya acha majungu mdogo wangu,pakaa cream utulie

 

JOSE MARA © Copyright 2010 All Rights Reserved . Developed by MTAA KWA MTAA