Iwe Hii Na 1
SHIRIKA LA MISSION TANZANIA LALETA NEEMA YA KUWASAIDIA WATOTO WA KIKE
WALIOPATA MIMBA ZA UTOTONI
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Jamii wakimemo walezi na wazazi wametakiwa kuhahakikisha wanaweka misingi
imara na kuwa mstari wa mbele katika kuwalinda watoto w...
16 comments:
Napenda ya 1 ya pili nzuri kama mngetoa miwani. ya tatu umetokea kitambi tehe tehee
Hamna zaidi? Na 2 ingawa miwani mekundu kaharibu. ni hayo tu
Aaaah Vijana wabaya nyie? Mnauza nyagooo...haya kaka nimewakubali. Uchaguzi wangu Namba 1
No 1, coz mpo smart sana!
shem na. 1 kali zaidi
Namba 1,mmeonyesha sura zenu na mmetoka poa sana!
du wakubwa nyie ni wakali mmetoka poa mpaka bac, ila no. 1 kali kulikoooooooooooo.
namba 1 heshima zaid
namba moja iko poa,chokoraa miwani kama mdoli tehetehe..utani tu.namba 2 nzuri sema hizo miwani chokoraa ndio kaharibu zaidi
namba 2 ni nzuri sana hasa hako ka culture chini halafu imewatoa mpk chini na imekaa kisanii (kimuziki) zaidi namba 1 ni nzuri ila imekaa kiofisini sana utadhani sio wasanii
nachagua 2
natapa picha ungekuwa na lile afro..ungetoka bomba.
1 ndo best
no 1 is the BEST....
no 2 ilikua bomba ila miyani ya huyo chokoraa ndio kimeo,badala yake n01 ishike hatamu kama unataka kuweka kwenye cover.
Ya 3 imenikumbusha body suit za nyoshi.cjaipenda kabisa.namba 1 nzuri.
kwel nyie n mpacha watatu sio sir mmependz
Post a Comment