Rais wa Bendi ya FM Academia Nyoshi El- Saadat(katikati) akizungumzia uzinduzi wa Album yao ya sita(6) ijulikanayo kama "Vuta nikuvute". Uzinduzi huo umepangwa kufanyika siku ya Iddi Mosi katika Ukumbi wa Diamond Jubilee. Wengine katika picha ni Meneja wa Bendi hiyo Mujib Khamis(kushoto) na Afisa Habari wa Idara ya Habari Zahra Majid.
Mahakama ya Afrika yaipa Rwanda siku 90 kujibu madai ya Congo ya kufadhili
waasisi wa M23
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
MAHAKAMA ya Afrika ya Watu na Haki za Binaadam (AfCPHR), imejiridhisha
kwamba inayouwezo na mamlaka ya kusikiliza kesi ya Jamhuri...
3 comments:
I cant wait!
Mnapenda blog hamtaki kuchapisha comments, what is it for? If you cannot print the comment get away from this game, mnarukia tu mambo hamuyawezi
NDUGU HII BLOG SIO KIJIWE CHA MAJUNGU NA MATUSI. KAMA UNA TATIZO NA MTU NI BORA UMFATE NA UJITAMBULISHE KWAKE NA UMWAMBIE USONI KWAKE.MAWAZO YA KUKOSEA NA KUJENGA TUTAWEKA. COMMENT ZA MATUSI NA KEJELI KWA WATU HATUTAWEKA.KILA MTU ANA MISIMAMO NA BLOG AU CHOMBO CHAKE CHOCHOTE CHA HABARI. BLOGGERS TUNA UWEZO WA KUZUIA YASIYOFAA KAMA TUNATAKA.UTAKAPOMTUKANA MTU HUMU NIKARUHUSU ITAKUWA NIMEAMUA MIMI KUMTUKANA.SAMAHANI KWA USUMBUFU UTAKAOJITOKEZA NI MSIMAMO TU MWENYE BLOG ALIOJIWEKEA.
Post a Comment