Maimartha wa Jesse na swahiba wake Ben Kinyaia wameanzisha kipindi TBC 1 mambo ya Live. Jumamosi hii kulikuwa na Wazee wa ngwasuma, H Baba na wengineo kibao pale studioni. Kipindi kitakuwa kinarushwa kila Jumamosi saa 12 jioni. Bonge la show hongereni sana Vijana. Pamoja tunaliviringisha gurudumu la Burudani.
SERIKALI YAWEZESHA UREJESHAJI WA HEKTA MILIONI 3 ZA MISITU ILIYOHARIBIWA
-
*Ofisi ya Makamu wa Rais kupitia Mradi wa Urejeshaji Endelevu wa Mazingira
na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania imewezesha urejesha...


0 comments:
Post a Comment