Maimartha wa Jesse na swahiba wake Ben Kinyaia wameanzisha kipindi TBC 1 mambo ya Live. Jumamosi hii kulikuwa na Wazee wa ngwasuma, H Baba na wengineo kibao pale studioni. Kipindi kitakuwa kinarushwa kila Jumamosi saa 12 jioni. Bonge la show hongereni sana Vijana. Pamoja tunaliviringisha gurudumu la Burudani.
DKT TULIA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA UYOLE
-
*Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya
mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amechukua na kurudisha fomu ya kuwania
nafasi ya Ub...
0 comments:
Post a Comment