Maimartha wa Jesse na swahiba wake Ben Kinyaia wameanzisha kipindi TBC 1 mambo ya Live. Jumamosi hii kulikuwa na Wazee wa ngwasuma, H Baba na wengineo kibao pale studioni. Kipindi kitakuwa kinarushwa kila Jumamosi saa 12 jioni. Bonge la show hongereni sana Vijana. Pamoja tunaliviringisha gurudumu la Burudani.
MTI MMOJA, ENEO AMBALO SIMBA HULITUMIA KWA HONEYMOON KRETA YA NGORONGORO.
-
Unaweza kustaajabu lakini ukweli upo hivyo, ukitaka kuwaona simba wakiwa
katika harakati za kuongeza familia fika katika Kasoko ya Ngorongoro eneo
la mt...


0 comments:
Post a Comment