Maimartha wa Jesse na swahiba wake Ben Kinyaia wameanzisha kipindi TBC 1 mambo ya Live. Jumamosi hii kulikuwa na Wazee wa ngwasuma, H Baba na wengineo kibao pale studioni. Kipindi kitakuwa kinarushwa kila Jumamosi saa 12 jioni. Bonge la show hongereni sana Vijana. Pamoja tunaliviringisha gurudumu la Burudani.
RAIS DKT SAMIA ATUMA UJUMBE MAALUM KWA RAIS WA CHINA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimkabidhi Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China
Mhe. ...


0 comments:
Post a Comment