Maimartha wa Jesse na swahiba wake Ben Kinyaia wameanzisha kipindi TBC 1 mambo ya Live. Jumamosi hii kulikuwa na Wazee wa ngwasuma, H Baba na wengineo kibao pale studioni. Kipindi kitakuwa kinarushwa kila Jumamosi saa 12 jioni. Bonge la show hongereni sana Vijana. Pamoja tunaliviringisha gurudumu la Burudani.
Mariam Abdallah Ibrahim Aleta Furaha Bagamoyo Kupitia Mashindano ya Mkali
wa Chapati
-
Bagamoyo imeandika historia mpya baada ya Mashindano ya Mkali wa Chapati
Bagamoyo yaliyofanyika tarehe 9 Julai 2026 kufanikiwa kwa kiwango kikubwa,
yakiv...


0 comments:
Post a Comment