Maimartha wa Jesse na swahiba wake Ben Kinyaia wameanzisha kipindi TBC 1 mambo ya Live. Jumamosi hii kulikuwa na Wazee wa ngwasuma, H Baba na wengineo kibao pale studioni. Kipindi kitakuwa kinarushwa kila Jumamosi saa 12 jioni. Bonge la show hongereni sana Vijana. Pamoja tunaliviringisha gurudumu la Burudani.
VIJANA WAKUMBUSHWA KULINDA TASWIRA YA NCHI KIMATAIFA
-
Serikali imewataka vijana wanaopata fursa za ajira nje ya nchi kuwa
mabalozi wa Taifa kwa kuzingatia nidhamu, uadilifu na tamaduni katika nchi
wanazokwenda...


0 comments:
Post a Comment